top of page
![]() | ![]() | ![]() | ![]() |
|---|
Search


Watalii 152,000 Watembelea Tanzania, Waziri Asema Tuko Salama Atakaye Aje
Waziri wa wa Maliasili na Utalii, Dkt. Ashatu Kijaji, amewahakikishia watalii kuwa hali ya usalama katika hifadhi na vivutio vingine nchini Tanzania ni nzuri na waendelee kuja kuvinjari. Ameyasema hayo leo Novemba 28, 2025, alipotembelea Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro ambapo pia alipata fursa ya kusalimiana na watalii kutoka nchi mbalimbali duniani waliokuwa wakiingia na kutoka lango la Kreta ya Ngorongoro. “Kwa wiki tatu tu za mwezi huu wa Novemba tumepokea watalii wa ndan
Dec 3, 20251 min read


Tanzania Yaihakikishia Dunia Hali ya Utalii Iko Salama
Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii, Dkt. Hassan Abbasi, akiongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 26 wa Baraza Kuu la Shirika la Utalii Duniani (UN Tourism) kilichoanza Novemba 9, 2025, jijini Riyadh, Saudi Arabia, ameihakikishia dunia kuwa hali ya utalii na amani viko imara nchini Tanzania kufuatia machafuko yaliyotokea wakati na baada ya uchaguzi katika baadhi ya maeneo. Dkt. Abbasi ameyasema hayo leo wakati akichangia Taarifa ya Utekelezaji ya Mwaka ya Taasisi
Nov 10, 20252 min read


Bilioni 527 zatekeleza miradi 13 ya TANROADS Tabora
Katika kipindi cha miaka minne ya Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan imetoa zaidi ya shilingi bilioni 527.751 kwa ajili ya kuhudumia jumla ya miradi 13 ya kitaifa kwa jumla ya kilomita 612.4, madaraja manne na mizani minne ya Kizengi miwili na Mizani ya Mkolye katika mkoa wa Tabora. Mkoa wa Tabora una mtandao wa Barabara wa kilometa 2188.09, katika mtandao huo, Barabara kuu ni kilometa 1077.12 na Bara
Oct 23, 20253 min read
bottom of page



